ESPRESSO COFFEE
JF-Expert Member
- Sep 6, 2014
- 6,170
- 7,665
- Thread starter
-
- #101
Hivi yanga wanajisikiaje wakimuona sakho ?? [emoji23]
Ila Replay ya Azam ni mbaya sana, magoli matamu ila kutokana na ubovu reply unashindwa kuburudika.
Simba 2??Dakika ya 23 Simba 2 Namungo 0
Usiwafanyie hivyo basi mkuu [emoji23][emoji23]Dakika ya 23 Simba 2 Namungo 0
Tunaomba na goli mkuuAmbao hamko karibu na screen Hii ndio kona waliyotukosa namungo
View attachment 2076224
Tunaomba na goli mkuu
Kwani unafikiri nimefanya kwa makusudi ebu ngoja nibadiliUsiwafanyie hivyo basi mkuu [emoji23][emoji23]