lwambof07
JF-Expert Member
- Jul 12, 2016
- 4,643
- 5,335
mbona humzungumzii MakamboooHivi inamaana Mayele ameshindwa kabisa kutusaidia leo? Au ndio asha anza pozi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mbona humzungumzii MakamboooHivi inamaana Mayele ameshindwa kabisa kutusaidia leo? Au ndio asha anza pozi?
Hii sauti mbona kama ya yule jamaa wao wape salaam
kabisaaa mpira ni magoli na magoli yanapokuwepo yakanogeshwa na biriani kama lile weeee hatar sana unaweza ukataman zichezwe dakika 120Waongeza goli jingine, goli moja ni roho mkononi likirudishwa dakika za lala salama hâta hili biriani halitakuwa na maana.
Sent using Jamii Forums mobile app
KabisaWaongeza goli jingine, goli moja ni roho mkononi likirudishwa dakika za lala salama hâta hili biriani halitakuwa na maana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahah! We jamaa nilikuwa nakutafuta sana. Sijaona mbwembwe zako humu[emoji23] au huangalii mpira saa hizi mkuu?Hapana kwani mechi ya leo mlicheza na mbeya kwanza?
Mayele ndio ametushika pabaya[emoji23]mbona humzungumzii Makambooo