Tena fluentlyNA kiswalihi anajua😂
Mama kawaida yetu ni kufukuza tu kama hana tija.Simba mmepewa waalimu wengi ila soon tutasikia mmoja mmoja anafukuzwa
Tukutane tar 8Nope...
Sijawahi kujificha...na sitakaa kujificha..
Simba ninayo na ninatamba nayo...
Ubaya Ubwela
Tarehe 8 upala wa gamondi utafuka moshiKumbe na wewe umeona! Kocha mkuu kaja kuchukua hela ya mtaji
🤣🤣🤣🤣sawaTukutane tar 8
Haha mtoto kutoka Tanga 🫢Kipa wote wazuri...
AzamManula mbona hayupo?