Nimjuaye ni mSouth Africa na Mtanzania, labda unitajie mwarabuKumbe humjui kocha wenu
Naona Leo umerudi baada ya mateso ya mda mrefuNiwapongeze amphibians wote mlioweka kambi kwa huu uzi wa wenyenchi, Endeleeni kufatilia mjifunze mengi.
Ubaya Ubwela.
Hii mechi unaonaje kupitia simu?
Nilikuwa bize kumshughulikia yule mkimbizi kiboko ya Wachawi, baada ya kumfyeka nimerudi sasa mkuuNaona Leo umerudi baada ya mateso ya mda mrefu
Sawa karibu Tena nduguNilikuwa bize kumshughulikia yule mkimbizi kiboko ya Wachawi, baada ya kumfyeka nimerudi sasa mkuu
Naunga mkono hojaAPR wanadhaminiwa na Azam media? Azam Fc washindwe wao
Pamoja mkuuSawa karibu Tena ndugu
Naona unatamani hata ujijibu mwenyewe 😂😂 sio Kwa kuhangaika huko😁Mutaleee mmepigwa
Kashindwa kusema ubaya ubwela kwa Kingereza?Azam wampeleke english course huyu gift macha...mtangazaji wa ovyo kabisa