Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
MutaleeeeNaona unatamani hata ujijibu mwenyewe ππ sio Kwa kuhangaika hukoπ
Hichi πππHIchi kikosi Namungo anajipigia hata vinne πππ Nafasi ya tatu kuna kazi
Itakua kapewa na kiboko ya wachawi.....Nani kampa Chemalone mkorogo?π€
Sawa mchambuzi CAF class BMkiwa mnacheza na sisi hizi space mnazi acha mmeisha
Mumepatia kila sehemuNi muda wa kujua wapi tumepatia wapi tumepigwa
Naunga mkono hojaHawa APR hawana utofauti na Pamba jiji Fc
tangu ujue neno space basi mjini hakukalikiWanavyoacha space hivyo wajiandae kwa goli nane
Hawa watalia na kusaga meno huko shirikisho hata fainali hawagusi hawaWanavyoacha space hivyo wajiandae kwa
goli nane
Teh teh Tukutane tar 8 mkuutangu ujue neno space basi mjini hakukaliki