sembo
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 4,350
- 3,451
Ibrahimu Ajibu "Mzee wa Ma Hat-Trick" is baack.. ndivyo waweza kusema.. na hii ni baada ya kuonesha man of the match performance katika mechi dhidi ya Majimaji ambapo Mnyama kashinda goli 6-1.
Magoli ya Mnyama yamefungwa na Ajibu 8, 11, 42, Kiiza 37, 83 na Mohammed Husein 79.
Achana na ile rekodi ya Ibrahim Ajibu katika msimu uliopita.. ya kutupia goli 3 za haraka zaidi tangu ligi ianzishwe miaka kibao iliyopita.. alitumia Dk. 21 tu kuingia katika rekodi.
Leo tena kaweka rekodi nyingine pia kwa kutupia goli mbili za haraka zaidi tangu ligi ianzishwe miaka kibao iliyopita.. Dk. 3 tu [Dk. 8 na Dk. 11]... zilimtosha kuingia tena katika vitabu vya rekodi ya soka letu nchini.. na ilibakia kidogo tu aivunje rekodi yake ya msimu uliopita.
Wapinzani wetu mjipange kisawa sawa zaidi.. Maana Ibracadabra is baaaaaaaaack.
Nikiripoti toka Taifa Stadium, ni Mimi sembo wa Simba TV.
Magoli ya Mnyama yamefungwa na Ajibu 8, 11, 42, Kiiza 37, 83 na Mohammed Husein 79.
Achana na ile rekodi ya Ibrahim Ajibu katika msimu uliopita.. ya kutupia goli 3 za haraka zaidi tangu ligi ianzishwe miaka kibao iliyopita.. alitumia Dk. 21 tu kuingia katika rekodi.
Leo tena kaweka rekodi nyingine pia kwa kutupia goli mbili za haraka zaidi tangu ligi ianzishwe miaka kibao iliyopita.. Dk. 3 tu [Dk. 8 na Dk. 11]... zilimtosha kuingia tena katika vitabu vya rekodi ya soka letu nchini.. na ilibakia kidogo tu aivunje rekodi yake ya msimu uliopita.
Wapinzani wetu mjipange kisawa sawa zaidi.. Maana Ibracadabra is baaaaaaaaack.
Nikiripoti toka Taifa Stadium, ni Mimi sembo wa Simba TV.