HahahaaaaPdidy kumbe bado upo? Nakumbuka enzi hizo ulikuwa unatupia stori za airport, hadi kuna kipindi nikahisi wewe ni taxi driver wa gari za kule ndani
Kolowizad
Nn hatareeee mshambuliaji hamnaa wacheza rede wale woteeeIla hatuna mshambuliaji hatari.
0-0Ngapingapi huko...
Cc
Kvz
Wangeiga yanga leo wangepelekewa motoKwaiyo makolo kikosi cha 1,2,3 ni kile kile kasoro jina