FT: Simba SC 0 - 0 APR SC | Mapinduzi Cup | New Amaan Complex | 05.01.2024

FT: Simba SC 0 - 0 APR SC | Mapinduzi Cup | New Amaan Complex | 05.01.2024

Nyie mnaong'ang'ana na rotation kwani mnaumwa migongo? Fanyeni huko kwenu msitupangie kwetu...sisi tunaona ipo
Hivi wanataka Simba Sc ichezeshe wachezaji wapi ili ionekane ni rotation? Jana karibia 70% ya kikosi ilikuwa na ya wachezaji ambao mara nyingi hawapati nafasi.

Kennedy, Kazi, Chilunda, Abel, Jimmyson, Chalamba, Israh....

Kuna mtu mwenye akili atasema huo ni full mkoko?

Kwamba ilitakiwa tuchezeshe wachezaji wa mitaa ni sio?
 
Yanga akiwa anachezesha kikosi cha U-20 ametinga ¼ fainali kwa points 7 sawa na simba aliechezesha kikosi cha CAF(kauka nikuvae). Katika kundi la simba alikuwepo Yeye alietoka kula 5 na Singida ambae ni mteja wa Yanga siku zote so hata Yanga angekuwa kundi hili maana yake angefuzu kwa point hizo hizo 7 kwa maana angekuwa na point 6 kutoka kwa simba na Singida na 1 ya APR. So ukimsikia kolo popote anajisifu ujinga kuwa alikuwa kundi gumu, muangalie tu mnyooshee mkono.
jidanganyeee - hiiiii
 
Hivi wanataka Simba Sc ichezeshe wachezaji wapi ili ionekane ni rotation? Jana karibia 70% ya kikosi ilikuwa na ya wachezaji ambao mara nyingi hawapati nafasi.

Kennedy, Kazi, Chilunda, Abel, Jimmyson, Chalamba, Israh....

Kuna mtu mwenye akili atasema huo ni full mkoko?

Kwamba ilitakiwa tuchezeshe wachezaji wa mitaa ni sio?
Wanaboaaa...sema kila mchezaji simba anakiwasha ndo maana wanaona wote huwa wanaanza..
 
Jimmyson, Kazi, Duchu, Abel, Chalamba, Kennedy, Israh

Hao wote waliocheza jana ni kikosi cha kwanza Simba Sc? Watu wengine kama mpira hamjui, kaeni jikoni mkate nyanya.
Wanalazimisha maumivu yao na ss tuyapate...wakae na mtimu wao..wasitupangie wakitaka wawaingize na wale yanga prinzezi wacheze pia..
 
Jimmyson, Kazi, Duchu, Abel, Chalamba, Kennedy, Israh

Hao wote waliocheza jana ni kikosi cha kwanza Simba Sc? Watu wengine kama mpira hamjui, kaeni jikoni mkate nyanya.
Hujajibu swali langu la msingi jombaa.

Narudia kwa nyie dark wizad(wachawi weusi)-shahidi CAF. kwa kikosi kilichopo Zanzibar, ukimtoa Inonga, Mzamiru na Kibu, Chama hatumwesabu.

Nani mwingine anakosekana ?
 
Hivi wanataka Simba Sc ichezeshe wachezaji wapi ili ionekane ni rotation? Jana karibia 70% ya kikosi ilikuwa na ya wachezaji ambao mara nyingi hawapati nafasi.

Kennedy, Kazi, Chilunda, Abel, Jimmyson, Chalamba, Israh....

Kuna mtu mwenye akili atasema huo ni full mkoko?

Kwamba ilitakiwa tuchezeshe wachezaji wa mitaa ni sio?
Kennedy na Isra watoe kwenye list yako, wamecheza kwenye kikosi cha kwanza mara kadhaa.
Tena Kennedy amecheza sana tu namba ya Inonga
 
Hivi wanataka Simba Sc ichezeshe wachezaji wapi ili ionekane ni rotation? Jana karibia 70% ya kikosi ilikuwa na ya wachezaji ambao mara nyingi hawapati nafasi.

Kennedy, Kazi, Chilunda, Abel, Jimmyson, Chalamba, Israh....

Kuna mtu mwenye akili atasema huo ni full mkoko?

Kwamba ilitakiwa tuchezeshe wachezaji wa mitaa ni sio?
Mocha awaachie wapange wao 🤓😄😄
 
Back
Top Bottom