Mac Alpho
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 13,953
- 27,825
Huyu jamaa nimemkubali pia.Hussein Kazi for me
[emoji3581]Verified
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu jamaa nimemkubali pia.Hussein Kazi for me
[emoji3581]Verified
Hivi wanataka Simba Sc ichezeshe wachezaji wapi ili ionekane ni rotation? Jana karibia 70% ya kikosi ilikuwa na ya wachezaji ambao mara nyingi hawapati nafasi.Nyie mnaong'ang'ana na rotation kwani mnaumwa migongo? Fanyeni huko kwenu msitupangie kwetu...sisi tunaona ipo
jidanganyeee - hiiiiiYanga akiwa anachezesha kikosi cha U-20 ametinga ¼ fainali kwa points 7 sawa na simba aliechezesha kikosi cha CAF(kauka nikuvae). Katika kundi la simba alikuwepo Yeye alietoka kula 5 na Singida ambae ni mteja wa Yanga siku zote so hata Yanga angekuwa kundi hili maana yake angefuzu kwa point hizo hizo 7 kwa maana angekuwa na point 6 kutoka kwa simba na Singida na 1 ya APR. So ukimsikia kolo popote anajisifu ujinga kuwa alikuwa kundi gumu, muangalie tu mnyooshee mkono.
Hapo Yanga Sc mna mshambuliaji gani mzuri hadi twende kuomba msaada wa Eng?Kazi za eng hizooo waombe msaada
Jimmyson, Kazi, Duchu, Abel, Chalamba, Kennedy, IsrahHivi nyie Wizard hiki kikosi chenu anakosekana nani?
Zaidi ya Kibu, Mzamiru na Inonga?
Wanaboaaa...sema kila mchezaji simba anakiwasha ndo maana wanaona wote huwa wanaanza..Hivi wanataka Simba Sc ichezeshe wachezaji wapi ili ionekane ni rotation? Jana karibia 70% ya kikosi ilikuwa na ya wachezaji ambao mara nyingi hawapati nafasi.
Kennedy, Kazi, Chilunda, Abel, Jimmyson, Chalamba, Israh....
Kuna mtu mwenye akili atasema huo ni full mkoko?
Kwamba ilitakiwa tuchezeshe wachezaji wa mitaa ni sio?
Wanalazimisha maumivu yao na ss tuyapate...wakae na mtimu wao..wasitupangie wakitaka wawaingize na wale yanga prinzezi wacheze pia..Jimmyson, Kazi, Duchu, Abel, Chalamba, Kennedy, Israh
Hao wote waliocheza jana ni kikosi cha kwanza Simba Sc? Watu wengine kama mpira hamjui, kaeni jikoni mkate nyanya.
Hujajibu swali langu la msingi jombaa.Jimmyson, Kazi, Duchu, Abel, Chalamba, Kennedy, Israh
Hao wote waliocheza jana ni kikosi cha kwanza Simba Sc? Watu wengine kama mpira hamjui, kaeni jikoni mkate nyanya.
Mnajifariji, twende kwenye uhalisia.Wanaboaaa...sema kila mchezaji simba anakiwasha ndo maana wanaona wote huwa wanaanza..
Kennedy na Isra watoe kwenye list yako, wamecheza kwenye kikosi cha kwanza mara kadhaa.Hivi wanataka Simba Sc ichezeshe wachezaji wapi ili ionekane ni rotation? Jana karibia 70% ya kikosi ilikuwa na ya wachezaji ambao mara nyingi hawapati nafasi.
Kennedy, Kazi, Chilunda, Abel, Jimmyson, Chalamba, Israh....
Kuna mtu mwenye akili atasema huo ni full mkoko?
Kwamba ilitakiwa tuchezeshe wachezaji wa mitaa ni sio?
Lakini wao sio kikosi cha kwanza Simba Sc, unless hujui maana ya kikosi cha kwanza.Kennedy na Isra watoe kwenye list yako, wamecheza kwenye kikosi cha kwanza mara kadhaa.
Tena Kennedy amecheza sana tu namba ya Inonga
Mocha awaachie wapange wao 🤓😄😄Hivi wanataka Simba Sc ichezeshe wachezaji wapi ili ionekane ni rotation? Jana karibia 70% ya kikosi ilikuwa na ya wachezaji ambao mara nyingi hawapati nafasi.
Kennedy, Kazi, Chilunda, Abel, Jimmyson, Chalamba, Israh....
Kuna mtu mwenye akili atasema huo ni full mkoko?
Kwamba ilitakiwa tuchezeshe wachezaji wa mitaa ni sio?