kiwatengu
Platinum Member
- Apr 6, 2012
- 18,585
- 16,780
Aisee Msimbazi wanataka wafanye marching kabisa.Hawapo tuliwafukuza au tumeona tuwape nafasi madogo coz hayo mashindano ni bonanza tu
Wewe unaitaje bonanza?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee Msimbazi wanataka wafanye marching kabisa.Hawapo tuliwafukuza au tumeona tuwape nafasi madogo coz hayo mashindano ni bonanza tu
Wachezaji wanalazwa kwenye sakafu hadi asubuhi hakuna kulala na matunguriSema wamekuta Simba sio wapenda kelele la sivyo hiyo video ingekua mpk leo tunatuma humu...wakampa mpk jukumu kocha la kupulizia uwanja hahahahaha
Ile ni fataki bhana nani kakudanganya ni moto,ni fataki iliwashwa vibayaHivi lakini ule moto pale Souz ulikuwa wa nini?
Nani aliwashauri nyie mawizad?
Kauli za sitaki hizi mbichiNi extra thing.
Ndio maana huwaoni baadhi ya wachezaji muhimu.
Nyie hawa akina Baleke, Saido mngewapumzisha tu.
Nguvu mnayotumia inadhihirisha how much u need it .
First 11 yenu yote ipo ZanzibarAisee Msimbazi wanataka wafanye marching kabisa.
Wewe unaitaje bonanza?
Umeamua kuleta ushabiki usio na msingi sasa.
🤣🤣 Nyie mnaziona mbivu?
Hata fataki huzijui?Ile ni fataki bhana nani kakudanganya ni moto,ni fataki iliwashwa vibaya
Sent using Jamii Forums mobile app
WamekimbiaKuna aliyejibu?
Poleni sanaJamaa anajituma sana, kuna mambo kidogo yanahitajika ya kiufundi, tangu mechi na utopolo wachezaji wetu wamechezewa kishirikina, sasa ndo wanaanza kurudi kawaida moja hadi moja
Sent using Jamii Forums mobile app
Anazingua 😂Ana kazi yake maalumu ya kushangilia mabao ya wenzie...na tunamfurahi kwa hilo kwakweli...hahahah
Kipa Abel Yuko Vizuri sana, ana nguvu za kuhimili vishindo vya ligi zote.Hapana, usitujaze.
Unataka kukandwa tena? [emoji38]Tumewakosa Utopwinyo.
Tuwagonge