FT: Simba SC 0 - 0 APR SC | Mapinduzi Cup | New Amaan Complex | 05.01.2024

FT: Simba SC 0 - 0 APR SC | Mapinduzi Cup | New Amaan Complex | 05.01.2024

simba itarudi kiwango chake tu kama wachezaji wenyewe wataacha kupigana misumari

waited yanga walee wapiga misumari wotee tuliachananao bila kujali kiwango chaoo..

e ndeleen na misumari
 
Yani kwa jinsi Yang'a utopwox mlivyotufunga kimazabe ya kishirikina na kichawi ndo maana mpk leo hamumini macho yenu na bado mnaweweseka...tutakutana tuu sisi ni pipo...
 
[emoji38] [emoji38] alijisemea takadin wao kuwa dabi ione hivyo tuu unaweza dhani unacheza na kikosi cha watu kumbe majini...alijuaa..ile mimaji ilomwaga mle uwanjani acha kabisa...
Ile mechi utopolo walishaicheza kwenye ungo wakaja kumalizia tu maelekezo uwanjani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom