Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uwezo wake umeishia hapo.Huyu beleke sijui skuizi amepatwa na nini
Nye kuna hadi video ile mechi yetu,Simba ndio timu ya kwanza Duniani kupewa adhabu kwa kufanya vitendo vya kishirikina uwanjani.
Tena uwanja wa nje
😆 😆 alijisemea takadin wao kuwa dabi ione hivyo tuu unaweza dhani unacheza na kikosi cha watu kumbe majini...alijuaa..ile mimaji ilomwaga mle uwanjani acha kabisa...Acha tu,tangu ile mechi hawajakaa sawa, ushirikiana upo aisee mnadhani mnacheza na watu kumbe misukule
Sent using Jamii Forums mobile app
Ile ni desturi ya wachezaji wa Yanga kwa mechi zote.
Sema wamekuta Simba sio wapenda kelele la sivyo hiyo video ingekua mpk leo tunatuma humu...wakampa mpk jukumu kocha la kupulizia uwanja hahahahaha
Ndivyo walivyo vyura wa jangwani 😁 😁Vyura ndo wanasema wamecheza vibaya yani wanaruka ruka tuu humu..
Tukikutana fainali ya mapinduzi tunataka mtu letee wachezaji halisi, sio kutuletea uchawiSimba ndio timu ya kwanza Duniani kupewa adhabu kwa kufanya vitendo vya kishirikina uwanjani.
Tena uwanja wa nje
Tunajua ni desturi ya wachezaji wa Yanga kulogaIle ni desturi ya wachezaji wa Yanga kwa mechi zote.
Jitahidi uwe unaenda hata uwanjani mara moja moja
Ni extra thing.
😂😂Wasipokuwa serious watabeba nini?
Hivi lakini ule moto pale Souz ulikuwa wa nini?
Kwa nini nikaushe wakati mlevi kanukuu asichokijua?😁😁😁 Watu MNA gubu ungekausha Tu Zaburi 23
Hawapo tuliwafukuza au tumeona tuwape nafasi madogo coz hayo mashindano ni bonanza tuKwamba mnajifanya hamuyataki au mnaogopa mnaowategemea hawapo mkijifanya kuwaingiza waliopo mnaona aibu watakvyopwaya?
Ile mechi utopolo walishaicheza kwenye ungo wakaja kumalizia tu maelekezo uwanjani[emoji38] [emoji38] alijisemea takadin wao kuwa dabi ione hivyo tuu unaweza dhani unacheza na kikosi cha watu kumbe majini...alijuaa..ile mimaji ilomwaga mle uwanjani acha kabisa...
Acha ulevi wa pombe122-1