Kichuguu
Platinum Member
- Oct 11, 2006
- 17,048
- 22,790
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣Oyaa 😁🤣🤣🤣
Una maoni gani mechi dhidi ya KMC ndugu mshabiki? Haya maneno yalisemwa kwenye mechi dhidi ya Wydad halafu kwenye mechi dhidi ya KNC mkanuna tena. Maji kupwa maji kujaaSimba inatia matumaini,wachezaji ari imerudi hata wakidraw haiumizi unajua wamepambana sio kama vile mwanzoni.
Mda unavyoenda tutamsahau Chama.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mmejitahidi kumkwepa Azam hatimaye mnaenda kuangukia mikononi mwaka!Tufanye nini ili tuweze kukutana na utopolo round inayofuata?
Kabisa . Bahati waliyoipata Kwa Manula hawaipati tena.Hapana, usitujaze.
Kwa Mpango maalumuKama kipa Hussein Abel ana kiwango hiki nini kilitokea Manula adake mechi ya Yanga akitokea majeruhi?
Nyie endeleeni kujiona mnaweza kwa kucheza na vikundi vya mpira wa mchangani..ndo maana club bingwa mnaruka ruka tuuYanga akiwa anachezesha kikosi cha U-20 ametinga ¼ fainali kwa points 7 sawa na simba aliechezesha kikosi cha CAF(kauka nikuvae). Katika kundi la simba alikuwepo Yeye alietoka kula 5 na Singida ambae ni mteja wa Yanga siku zote so hata Yanga angekuwa kundi hili maana yake angefuzu kwa point hizo hizo 7 kwa maana angekuwa na point 6 kutoka kwa simba na Singida na 1 ya APR. So ukimsikia kolo popote anajisifu ujinga kuwa alikuwa kundi gumu, muangalie tu mnyooshee mkono.
Mbona zimechukuliwa 3?View attachment 2863040
Msimamo wa kundi letu
JujuuuKama kipa Hussein Abel ana kiwango hiki nini kilitokea Manula adake mechi ya Yanga akitokea majeruhi?
I mean kwny group timu nimeona kama zimeenda 3 robo fainali au ndo utaratibu?Zimechukuliwa wapi?
Tumeshinda mbili tumetoa Suluhu moja.
Ookey nashukuru kwa ufafanuzi....APR na Jamhuri zimeingia kama Best Looser
Kanoute kaupiga sana jana, jamaa alikuwa ananyumbulika na kutoa pasi vizuri.Kanoute Man of the Match
Jimmyson, Duchu na Chilunda hawana lolote. Duchu hawezi kuwa mbadala wa Kapombe maana hawezi kupeleka mashambilizi mbele na akiwa na mpira hajui afanye nini.Jimmyson Mwanuke naye gharasa[emoji23][emoji23][emoji23]