FT: Simba SC 1-0 Jamhuri SC | Mapinduzi Cup | New Amaan Complex| Robo Fainali | 08.01.2024

FT: Simba SC 1-0 Jamhuri SC | Mapinduzi Cup | New Amaan Complex| Robo Fainali | 08.01.2024

Kwani wasiosoma physics wanatulizaje?


Ujinga huu huu wa physics unaosomwa mashuleni??

Mtu anasoma current electricity, electronics hadi form six na hajui hata kutengeneza radio ikiharibika
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huu sasa wivu. Hukusoma phyz?
 
Miquissone karudi bwana, sema kakosa support ya uwepo wa viuongo wasiokuwa na ubinafsi kama enzi zile za utatu wao. Hawa waliopo kila mmoja akipata anawaza kufunga hata kama hawapo kwenye nafasi hiyo, matokeo yake mshambuliaji hapati mpira.

Ntibazonkiza kufunga kwenye open play hawezi ila kila akipata mpira abalazimisha kufunga yeye, Onana naye ni walewale.
 
Ha ha ha kamaliza assignment kaja kusumbua
Mtu unaangalia movie kibarazani na umeshasema una familia yako si uangalie sebleni kwenye tv yako

Au labda kama wewe sio kiongozi wa familia ndo kelele zako unaambiwa ukapigie barazani😂
 
Back
Top Bottom