Interlacustrine R
JF-Expert Member
- Jan 22, 2022
- 7,186
- 14,274
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huu sasa wivu. Hukusoma phyz?Kwani wasiosoma physics wanatulizaje?
Ujinga huu huu wa physics unaosomwa mashuleni??
Mtu anasoma current electricity, electronics hadi form six na hajui hata kutengeneza radio ikiharibika
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kibarazani wapi wewe kwasukwasu mwanachuo
Sema uko chuo gani tululetee fedha ya kujikimu[emoji16][emoji16]
Mtu unaangalia movie kibarazani na umeshasema una familia yako si uangalie sebleni kwenye tv yakoHa ha ha kamaliza assignment kaja kusumbua
Na Baleke naye apishe tuHuyu ndio wa kumpisha Babacar Sarr.
Sina TV, mziki wala sofa, mi ni mlalahoi mmoja tu toka Mbagala Kimanzi lakini nafurahi sana Makolokolo mnavyoteseka [emoji851]Huna TV utaangaliaje sasa mkuu?
Hongera kwa kiti kizuri cha jambo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Utopolo wanapiga chabo hlf wanarudi Kujificha....!
Hii SSC ya mchongo tu
Ni vile hii tim ni underground
Nilisikitika sana tulivyomuacha huyu mwamba
Miso Misondo Band una akili sana, sasa kwanini umeamua kujiunga huko umbumbumbuni nakati una akili hadi za kujua mi ni mwanafunzi wa chuoni? [emoji2]Kibarazani wapi wewe kwasukwasu mwanachuo
Sema uko chuo gani tululetee fedha ya kujikimu[emoji16][emoji16]
😁 sawa mwenye timu tukutane fainali😂Mashabiki wa SSC ni washamba
Hakuna timu