Interlacustrine R
JF-Expert Member
- Jan 22, 2022
- 7,186
- 14,274
Kama goli la Aziz Ki katikati ya Makolokolo 10 ile mechi mliyokula 5-1?Kafunga goli gumu
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama goli la Aziz Ki katikati ya Makolokolo 10 ile mechi mliyokula 5-1?Kafunga goli gumu
Hujacheza mpira inaonyesha. Utawezaje kutuliza mpira uliopigwa kama sio kwa kutumia hesabu/physics?Kuweni serious na kazi za watu
hakuna hesabu za darasani kwenye kwenye mpira
algebra na mpira wapi na wapi?
Hata nyie mlikuwa siriazi sema tu wale wasabato waliwakatili 😁Mko seriaz sana!!
Mkuu😂😂Kama la goli la Aziz Ki katikati ya Makolokolo 10 ile mechi mliyokula 5-1?
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Mkuu bodaboda wamekukosea nini??Hilo tatizo sio kwenye mpira tu, yani ikitokea wakawa na utaratibu wa kupima akili za hawa vijana waendesha pikipiki kabla ya kuwapa leseni basi tutakuwa tumezuia ajali nyingi sana, maana nyingi ni matokeo ya akili zilizofeli.
NAUNGA MKONO HOJA YAKO.
Sirias kikosi C ilihali Wachezaji kikosi A 14 wote hawapo, lini Makolokolo mtakuwa na akili?Hata nyie mlikuwa siriazi sema tu wale wasabato waliwakatili [emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23] ila kweli uko sahihi.Yes, kuanzia point 13 na kuendelea waache waende halmashauri kudhulumu fedha za wananchi na kujenga madaraja na barabara feki[emoji38]
Unajua vitu vingine vina logic rahisi sana. Angalia money circulation iliyopo kwenye mpira ikiwa pamoja na mishahara ya wachezaji halafu linganisha mishahara mbuzi ya vijana wanaopata hizo Div. 1 na kuajiriwa serikalini huko.
Hakuna kitu kama hicho.Hata nyie mlikuwa siriazi sema tu wale wasabato waliwakatili 😁
Hawaelewi kabisaSirias kikosi C ilihali Wachezaji kikosi A 14 wote hawapo, lini Makolokolo mtakuwa na akili?
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Makolokolo 1 limeshatoka shimoni kama yale Magaidi yaliyopo kule Gaza baada ya kupigwa kwenye mshono [emoji38]Mkuu[emoji23][emoji23]
Matokeo hayabaki hivo hivo
Umeliwa 3 na belouzidad
Umeliwa 3 na ApR
Na utaliwa sana tu
Kwaheri mtani
Kwaheri kwenye mashindano
5-1 haikupi kombe wewe
Umekosa cha kusema unahangaika tu kwenye page za simba
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wewe hebu lala, Mapinduzi haikuhusu, ushafukuzwaa.Kama la goli la Aziz Ki katikati ya Makolokolo 10 ile mechi mliyokula 5-1?
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Umempatiajeeee sasa, yaan umempa makavuu haswaa.Mkuu[emoji23][emoji23]
Matokeo hayabaki hivo hivo
Umeliwa 3 na belouzidad
Umeliwa 3 na ApR
Na utaliwa sana tu
Kwaheri mtani
Kwaheri kwenye mashindano
5-1 haikupi kombe wewe
Umekosa cha kusema unahangaika tu kwenye page za simba
Labda Bodaboda wanambandua Pisi Kali wake...[emoji1745][emoji16]Mkuu bodaboda wamekukosea nini??
Asiye na akili ni wewe, Gamondi alisema analitaka kombe, wewe unasema hamkuwa siriazi hivi kweli afya yako ya akili ipo sawa?Sirias kikosi C ilihali Wachezaji kikosi A 14 wote hawapo, lini Makolokolo mtakuwa na akili?
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Utawaweza Sasa vijana wakishashiba magimbi😂😂.Kuweni serious na kazi za watu
hakuna hesabu za darasani kwenye kwenye mpira
algebra na mpira wapi na wapi?
Mlikatazwaa? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hakuna kitu kama hicho.
Tungekuwa seriaz kama nyie.
Max, Pacome, Yao, Aucho, Sureboy,
Mkude wangecheza.
Hayo yenu hayatuhusu tulia uone mpira wa wakubwa hutaki kaendelee na shughuli nyingine eboohHakuna kitu kama hicho.
Tungekuwa seriaz kama nyie.
Max, Pacome, Yao, Aucho, Sureboy,
Mkude wangecheza.
Kwa umbumbumbu wako Kocha gani ambaye angesema hataki kombe ilihali ni mambo ya ki-muungano? Ebu kua kiakili hata kwa 0.0001% tu we Makolokolo [emoji847]Asiye na akili ni wewe, Gamondi alisema analitaka kombe, wewe unasema hamkuwa siriazi hivi kweli afya yako ya akili ipo sawa?