Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
- Thread starter
-
- #281
Unakuja kutafuta sympathy humuWasitutishe wasubirie muziki munene kesho
Heeh! KumbeYa nne
Hata bure simtaki huyo mtani πππππ Mlokole alimshindwa, nitamuwezea wapi na alivyo muoga hivyo.Bantu Lady nimekuoza kwa mwenye Avatar ya Mo shoga yangu tupige pesa... π π π
We subiria kesho mkuuUnakuja kutafuta sympathy humu
Nipo kitengo cha kubana pumbu. Siwezi kukoment muda woteHatimae umetoka pangoni
Yani huwa anachungulia kwenye kitobo cha dirisha... π π πHata bure simtaki huyo mtani πππππ Mlokole alimshindwa, nitamuwezea wapi na alivyo muoga hivyo.
Yes, akina Mo Extra, Mo sabuni, Mo Ukwaju, Mo kashata, Mo bodaboda pamoja na Vunja bei. Nusu ya uwanja ni suti tupu!
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Umesahau Mo vitasaYes, akina Mo Extra, Mo sabuni, Mo Ukwaju, Mo kashata, Mo bodaboda pamoja na Vunja bei. Nusu ya uwanja ni suti tupu!
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Nimepika mapemaa wkt game inaanza nimeshamalizaView attachment 2540879
Nyie wadada wawili mkawapikie wanaume zenu acheni mambo ya ajabu
Wote tuende next stage, Utani wa jadi tuuweke pembeniWe subiria kesho mkuu
Vipi mnacheza mieleka?Vipers wananiangusha