FT: Simba SC 1-0 Vipers SC | CAF Champions League | Benjamin Mkapa Stadium | 07.03.2023

FT: Simba SC 1-0 Vipers SC | CAF Champions League | Benjamin Mkapa Stadium | 07.03.2023

Hili kundi liko very interesting, pamoja na Vipers kufungwa mechi tatu bado anao uwezo wa kutinga robo finali. Ni Raja pekee ndiye ambaye ametinga robo fainali, walisalia wanayo nafasi ya kuungana na Raja.

Vv
Kwamba Vipers atafikisha point 7 kabla ya Simba?
Kwamba atamfunga Raja ?
 
Wamepewa hadi mwezi wa 4 au 5 wanakuja kuangalia target ya kwanza kama imefikiwa ambapo inajumuisha maboresho ya pitch. Uwanja leo una hali mbaya kuliko hata game za mwisho zilizochezewa pale.
Ndo maana Club zetu zinatakiwa ziwe na viwanja vyao pekee
 
Back
Top Bottom