Kiweriweri
JF-Expert Member
- Jan 3, 2012
- 2,150
- 3,086
Mara ya mwisho Utopolo FC kucheza ligi ya mabingwa waliambulia pts 2 tu. Ndiyo mafanikio makubwa kuwahi kutokea huko kwenu Utopoloni.Kwa kifupi kasema Simba hii inaingia robo kwa kuunga unga.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mara ya mwisho Utopolo FC kucheza ligi ya mabingwa waliambulia pts 2 tu. Ndiyo mafanikio makubwa kuwahi kutokea huko kwenu Utopoloni.Kwa kifupi kasema Simba hii inaingia robo kwa kuunga unga.
Kuna wengine wamekaa miaka 30 bila kufika robo hata kwa njia hiyo ya kuunga ungaKwa kifupi kasema Simba hii inaingia robo kwa kuunga unga.
Lengo letu sisi ni kumpata punda na sio mlio wake
Bila shaka kazi imebaki kwa Simba kuchukua tiketi yake ya robo hapa hapa nyumbani. Ashindwe mwenyewe tu.Next game ya Simba ndio itaamua kama Simba anapita au lah...ni game muhimu mno
Kweli kabisa mkuu, mchezo muhimu sana huo kwa Simba kuamua hatima yake kwenye hayo mashindano.Bila shaka kazi imebaki kwa Simba kuchukua tiketi yake ya robo hapa hapa nyumbani. Ashindwe mwenyewe tu.
Kesho mnakibarua pale kwa MkapaBasi Mtampata Huyo Punda Msimu Huu Ambaye Bila Shaka Ndio Ubingwa Wa NBC Na CAF Champions League [emoji23][emoji23]
Kesho mnakibarua pale kwa Mkapa
Na wale Bamako nilivyowaona kwenye mazoezi yao sijui kama mtapona
Watu mna matusi eti mkuu...Acha tuu mkuu sio kwa kitete tuko nayo wana thiiiiiiiiiiiiiiiimbaaaaaaa 😄 😄 😄 😄 😄
Toa uchafu unaumiza watu macho usidhani humu wote ni wachomelea mageti[emoji276]View attachment 2541056
Hee! Mara hii mimi Utopolo!? Acha mzaha Aisee!Mara ya mwisho Utopolo FC kucheza ligi ya mabingwa waliambulia pts 2 tu. Ndiyo mafanikio makubwa kuwahi kutokea huko kwenu Utopoloni.
Toa uchafu unaumiza watu macho usidhani humu wote ni wachomelea mageti
Ashukuliwe kwa lipi wakati ametekeleza wajibu wake?Ashukuriwe Mshika Kibendera Vinginevyo Robetinho Angekoma Leo [emoji23]
Ashukuliwe kwa lipi wakati ametekeleza wajibu wake?
Wamepewa hadi mwezi wa 4 au 5 wanakuja kuangalia target ya kwanza kama imefikiwa ambapo inajumuisha maboresho ya pitch. Uwanja leo una hali mbaya kuliko hata game za mwisho zilizochezewa pale.Muda wa kufanya matengenezo bado ni mkubwa tu.
Simba anaingia Robo Fainali kabla ya timu nyingine yoyote ya Tanzania msimu huu. Mkubwa mkubwa tu.Bila shaka kazi imebaki kwa Simba kuchukua tiketi yake ya robo hapa hapa nyumbani. Ashindwe mwenyewe tu.
Ile mbona ni offside Mkuu tatizo hii michuano haitumii tech ya 3D preview.Ashukuriwe Kwa Kushindwa Kutafsiri Vizuri Sheria Za Offside Vinginevyo Hali Ingekuwa Mbaya Muda Huu [emoji41]