Wao tumewakosa kwasababu ya ubora wa kipa now ni muda wwtu kujivunia asset tuliyonayoTumekoswa
Heee zote hizo?Bado kama dkk 7, zidisha maombi mpendwa
anakurusha rohoHeee zote hizo?
NneJamani dkk 7??? Mhhh
Bado hazijaongezwaTunasubiri dakika za nyongeza
Zimeongezwa 4
Tumeutawala sema kipa mzuriNyie Kwa Ujumla Mechi Ikoje Tumetawala Au Tumetawaliwa?
Nacheka huku naogopaJamani nilikwenda chooni bado sijatoka naogopa hata kusikia kelele za nje za Uto.