mwarabu feki
JF-Expert Member
- Feb 16, 2023
- 811
- 1,811
Uyu fred ndio tuliambiwa anafunga magoli hata akiwa jukwaani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama Aziz Ki na ManulaHuyo Dube ni kama kibu denga anavyomtesaga Diara wa chura FC...lazima amkande....
Mbona Uzi umepooza sana ,kunani?Match Day!
View attachment 2898703
View attachment 2898704
Mchezo wa 13 kwa Simba akiwa na Alama 29 nafasi 3.
Azam wao wako nafasi ya 2 wakiwa na Alama 31.
View attachment 2898337
Simba alipoteza mara mbili Mfululizo kwa Azam Fc.
Hii ni Mechi ya kisasi.
All the Best Mnyama.
Kikosi cha Simba Kinachoanza.
View attachment 2898706
Kikosi cha Azam Kinachoanza
View attachment 2898721
Updates...
Timu zimeshaingia Uwanjani
Wanasalimiana hapa.
Time 15:57
Game On ...
00:31' Sila yuko chini amekutana na Tshabalala.
Faulo ya kwanza inapatikana hapa.
03' Azam wanapata faulo nyingine, inapigwa haileti madhara
05' Bado mpira unachezwa zaidi katikati ya uwanja.
07' Mpira unaendelea Simba wanapata freekick anapiga Chama unakuwa mrefu, inakuwa goal kick
09' Azam wanapata kona ya kwanza haileti madhara .
10' Fei anachezewa Faulo na Babakar. Inapigwa haileti madhara kwa Simba.
14' Goli. Azam wanapata goli la kuongoza hapa kupitia kwa Dube.
18' Saido anapokea Assist nzuri sana kutoka kwa Kibu D, anapiga vizuri kipa anadaka.
21' Mpira umesimama kwa muda. Kipa wa Azam anapatiwa huduma ya kwanza
27' Mpira unaendelea na sasa umerudi tena katikati. Kila timu ikijitahidi kufanya mashambulizi yakushtukiza.
33' Sopu anachezewa Faulo wanapata free kick inapigwa inakuwa goli kick.
Mpira unaendelea.
35' Simba wanapata Kona ya kwanza inapigwa haileti impact yoyote kwa Azam
36' Simba wanapoteza nafasi ya wazi kabisa kusawazisha goli.
Inakuwa goli kick
38' Gibril Silla anapata kadi ya njano baada ya kumchezea rafu Tshabalala.
Wakati huo Kipa wa Azam yuko Chini,
Mental problems are real,dadeki... wote tunaona Chama hajachomoa,ila mmoja tu anaona,dadeki.Gooooooooooo,chama kachomoa.
Tuanze kuwaita mi naamza na mwasibu OKW BOBAN SUNZUMbona Uzi umepooza sana ,kunani?