Buza imekuwa mexico?All the way from Mexico, Wishing Azam the huge win[emoji123][emoji123][emoji123]
Hakuna offside Dube kakimbilia toka nyumaKuna haja ya VAR aisee
Litarudi ndotoni,kimoja cha nguruwe chwaaaaBado mapema sana litarudi hili
Si ndo mlikichaguaIla uwanja mbovu sana huu mipira haitembei kabisa