Logikos
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 15,460
- 24,233
Ulichoandika kina-akisi kilichopo ? Ticket zote zimeauzwa au VIP A ndio zimekwisha ?View attachment 2898701
Ndugu Watanzania, Tiketi zote Zimeuzwa Tayari.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulichoandika kina-akisi kilichopo ? Ticket zote zimeauzwa au VIP A ndio zimekwisha ?View attachment 2898701
Ndugu Watanzania, Tiketi zote Zimeuzwa Tayari.
Kikosi kizuri especially Ngoma karudi. Ila sijui wapi Kanute hata bench hayupo.
Ili waonekane hawajaiogopa hii mechi, ilitakiwa waipeleke Chamazi (Nyumbani kwa Azam Fc)..?Simba Wameiogopa Hii Mechi Hadi Kupeleka Uwanja Wa Kirumba Mwanza.
Simba Hawezi Kutoboa Akipambana Sana Anatoa Sare.
Simba Kaonesha Uoga Mapema Sana Hivyo Hata Kwenye Mechi Ya Leo Hatofanya Maajabu.
FT
Simba 1 - 2 Azam
True. The cleaner the sheet the better.😀Tunahitaji clean sheet
Mwanza ni Strategic point.Simba Wameiogopa Hii Mechi Hadi Kupeleka Uwanja Wa Kirumba Mwanza.
Simba Hawezi Kutoboa Akipambana Sana Anatoa Sare.
Simba Kaonesha Uoga Mapema Sana Hivyo Hata Kwenye Mechi Ya Leo Hatofanya Maajabu.
FT
Simba 1 - 2 Azam
Itakuwa Simba wametumia akili. Badala ya kutoka Tabora kwenda Dar, then kurudi tena lake zone, wametokea Tabora kwenda Mwanza ambapo ni karibu sana. Na next match ni Geita.Ili waonekane hawajaiogopa hii mechi, ilitakiwa waipeleke Chamazi (Nyumbani kwa Azam Fc)..?
Game chargerItakuwa Simba wametumia akili. Badala ya kutoka Tabora kwenda Dar, then kurudi tena lake zone, wametokea Tabora kwenda Mwanza ambapo ni karibu sana. Na next match ni Geita.
Strategically done.
Unaipelekaje Chamanzi wakati wewe ndio mwenyeji?Ili waonekane hawajaiogopa hii mechi, ilitakiwa waipeleke Chamazi (Nyumbani kwa Azam Fc)..?
Sijui kwanini wanashindwa kuweka benchiHivi kwanini Saidoo asiwe anaanzia benchi hata mara moja moja?