FT: Simba SC 1-1 Azam FC | NBC Premier League | CCM Kirumba Stadium| 09.02.2024

FT: Simba SC 1-1 Azam FC | NBC Premier League | CCM Kirumba Stadium| 09.02.2024

Watu wanasema offside ile ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ ilaaa
 
Pole sana kwa wanasimba,kipigo mlichopata leo,kisilete mtafaruku,ni mpira.
 
Alichodindwa BENCHIKA ni kutengeneza timu ambayo inaweza kuingia na kutengeza chances ktk kwenye box ya 18 yw mpinzani. pia mpira wa kasi unaowezw kuichanganya defence ya mpinzani...
Yale yale tuliyasema mechi ya Tabora united...

Magoli mengi mengi ya simba ni krosi,kichwa...
Machache sana yamepatikana kwa gonga za ndani ya box..
 
Back
Top Bottom