Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Kiko wapiKwani hilo moja limetoka kwa nguvu ipi?
Ulitaka dakika ngapi?Huyu Refa ni Shoga sijapata kuona.. anamaliza mpira mapema kabisa Mbwa huyu
Mpaka mseemeeeeHuyu Refa ni Shoga sijapata kuona.. anamaliza mpira mapema kabisa Mbwa huyu
AahaaaaKiko wapi
Ok boss, naona tumejenga hema kwenye dimbwi hatimaye kelele za vyura zina madhara, hakuna kulala.AZAM akiwapga nyingi basi wao wenyewe watajiona wamekuwa na kufikia level moja na YOUNG AFRICANS wakati wapo level moja na nyie.
ChanganyikiwaaChangamoto ni nini wadau?
Naunga mkono hojaYanga bingwa
labda Njaa....Simba sc anashinda hii
Hahahahah raha sana unapomuona kolo anapata kibinyo mpaka anakuwa kichaaHuyu Refa ni Shoga sijapata kuona.. anamaliza mpira mapema kabisa Mbwa huyu
Mbona kwangu inaniambia kuna tatizo niondoe ujumbe.au inachagua maeneo?mbon nipo na azam max ipo fresh tu
π€£π€£π€£Simba afanye nini kipindi cha tatu?????