Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Kwa nini nyie ni wabovu??Timu mbovu haijagundishwa kwa super glu man... ni suala la muda tu, acheni kukariri maisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa nini nyie ni wabovu??Timu mbovu haijagundishwa kwa super glu man... ni suala la muda tu, acheni kukariri maisha
Huyu kama si mchawi ni mteja wa cha Iringa
Poleni sana...Naona wana FC Utopolo, Vinyesi, Manyani, Vidimbwi, Vyura, Rushwa, Mihogo, Mwiko Nyuma, Nzi wa Kijani, ... wamefarijika sana, meno nje nje
Mwanaume ukijua tu Kukaza vizuri Kamba na yule Unayemkazia Kamba yake akifurahi basi tegemea tu kila wakati atakuwa anapenda Kukutajataja Mkazaji Kamba wake ili usiache na ukahamia Kuwakazia Kamba Wengine.Popoma njoo bas shusha rundo la lawama
GENTAMYCINE ,Cognizant ,MINOCYCLINE
Njoo shusha rundo la lawama
ID tofauti same post.Mwanaume ukijua tu Kukaza vizuri Kamba na yule Unayemkazia Kamba yake akifurahi basi tegemea tu kila wakati atakuwa anapenda Kukutajataja Mkazaji Kamba wake ili usiache na ukahamia Kuwakazia Kamba Wengine.
kichwani kwako kuko sawa kweli au kumejaa tu funza, makamasi na makohozi matupu?ID tofauti same post.
Una ID 400, na utashinda kwa kura 400.
Sasa msajili hadi mwamposa, awatoe mapepo.
Kuna funza brazakichwani kwako kuko sawa kweli au kumejaa tu funza, makamasi na makohozi matupu?
Pigeni hili nyau ban..
Moderators....
Kumbe duh kama kunaukweli
UmefukuaNamumgo alishakataaga kua mteja