Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kolo hapo ni tofauti ya pointi 2 na Yanga,msubirie maumivu tuNdio umeamka kutoka usingizini we chura?!
Kwani draw maana yake nini kama sio pointi moja!
Anayepoteza point nyingi ndiye anayeukosa ubingwa.Kwani msimu uliopita, wewe na Yanga nani alikuwa kafungwa mechi nyingi?
Tokea ligi imeanza Simba kapoteza dhidi ya Yanga pekee na kutoa droo. Jambo linaloleta hizi porojo ni Kupoteza dhidi ya Yanga kwa goli nyingi, hii ilikuwa ni udhaifu mkubwa na umemwondoa kocha.Lakini pia niliposema kinachoangaliwa sio mechi ulizopoteza, nilimaanisha tokea ligi imeanza mpaka hapa tulipo sasa.
Hatukuwa na furaha na nani? Kama ni kocha hakukuwa na tatizo as long as anashinda ndo maana akapewa A.K.A PIRA OBJECTIVE. Tatizo limekuja pale aliposhindwa against mtani kwa goli 5. Mashabiki tunataka matokeo mazuri, timu ikishinda tunafurahi, ikifungwa atatafutwa wa kupewa lawama na hawezi kukosekana. As long as Simba inashinda hakuna shida. Unadhani Yanga wangefungwa au kudroo au kushinda ushindi wa kawaida tungekuwa tunaongelea hili?Yawezekana ukawa umepoteza mechi moja, lakini mwenendo wako ni tia maji tia maji. Na ndio maana hata kabla ya derby, Yanga tulikuwa tumepoteza mechi moja, huku nyie hamjapoteza, ila Cha ajabu hamkuwa na furaha
Wanajisikia kama wamemaliza kila kitu na msimu umeisha sasa.Naona wana FC Utopolo, Vinyesi, Manyani, Vidimbwi, Vyura, Rushwa, Mihogo, Mwiko Nyuma, Nzi wa Kijani, ... wamefarijika sana, meno nje nje
Kabisa kiongozi, mbio zetu za kutwaa ubingwa zipo palepale.Simba haihitaji kusajili timu nzima. Muda utatoa majibu.
Wamechanganyikiwa sio kidogoo 😂!Makolo kila mtu kachanganyikiwa.... Hawajui walaumu kipa, beki au Kocha 😅
Kibisa boss, Mambo bado, Jambo haliishi mpaka liwe limeisha. Hii ni Simba na woote hata hoho fc na wenzao wanafahamu Simba ni nn. Juzi tu tulikuwa na wageni wa kidunia wa soka hapa nchini sababu ya hilo jina Simba. Udhaifu uliopo utarekebishwa na ushindani wa msimu bado ni mbichi sana.Kabisa kiongozi, mbio zetu za kutwaa ubingwa zipo palepale.
Bwahahahahahahahahah!!🥴🥴🥴🤣Naona unapenda sana kubugia inzi wa kijani 😂
Panua mdomo huko chooni uwabugie vizuri kisha kashushie na supu ya vibudu vya Bashite jpili 😂😂
hahahah hawana raha kabisaaa!Jamaa wanalia sana msimu huu yaan wanaishi na presha presha presha presha 🤪😆
hauna team kolo!mpaka mseme msimu huu!hizi takataka kina chama, aisha,malone,mpemba inonga ndo wachukue ubingwaKibisa boss, Mambo bado, Jambo haliishi mpaka liwe limeisha. Hii ni Simba na woote hata hoho fc na wenzao wanafahamu Simba ni nn. Juzi tu tulikuwa na wageni wa kidunia wa soka hapa nchini sababu ya hilo jina Simba. Udhaifu uliopo utarekebishwa na ushindani wa msimu bado ni mbichi sana.
Utopolo!!Makolo
[emoji23][emoji23][emoji2772]Matola. Hafai hata kulumangia
Hii ni kweli kabisa.Anayepoteza point nyingi ndiye anayeukosa ubingwa.
Kocha mmemtoa kama mbuzi wa kafara tu, lakini tatizo halikuwa kwake.Tokea ligi imeanza Simba kapoteza dhidi ya Yanga pekee na kutoa droo. Jambo linaloleta hizi porojo ni Kupoteza dhidi ya Yanga kwa goli nyingi, hii ilikuwa ni udhaifu mkubwa na umemwondoa kocha.
Hatukuwa na furaha na nani? Kama ni kocha hakukuwa na tatizo as long as anashinda ndo maana akapewa A.K.A PIRA OBJECTIVE. Tatizo limekuja pale aliposhindwa against mtani kwa goli 5. Mashabiki tunataka matokeo mazuri, timu ikishinda tunafurahi, ikifungwa atatafutwa wa kupewa lawama na hawezi kukosekana. As long as Simba inashinda hakuna shida. Unadhani Yanga wangefungwa au kudroo au kushinda ushindi wa kawaida tungekuwa tunaongelea hili?
Shibobo Master'sUtopolo!!
Kabisa kiongozi, mbio zetu za kutwaa ubingwa zipo palepale.