Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
Ulikua wapi [emoji16][emoji16][emoji81][emoji81][emoji81]Piga haoooooo Kolouizdad
π€£π€£π€£ kolo ameshaokota mawili kunyavu. π€£π€£Wadau nipo porini nachoma mkaa ,nipeni matokeo ,ngapi huko?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Manula kapigwa bonge la tobo. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
majini yanafanya kazi ila muda bado upo.CHASAMBI tunataka goli.
SAIDI Ntiba tunataka goli.
Majini ya Yanga hayatuwezi.
Huo mkaa nakuona mwaka wa 10 huu sasa unauchoma tu ππWadau nipo porini nachoma mkaa ,nipeni matokeo ,ngapi huko?
π€£π€£π€£ kolo ameshaokota mawili kunyavu. π€£π€£
Na wamepiga kweliPrisons watapiga cha pili hapa.