Warudishe bil 20 za mudiGame oveeeerrrr
Clearly you are HappyFull time
Am so saaad tumedondosha point tatu muhimu😂😂😂😂
KwambaaaaaUKICHAA NI NINI? UKICHAA NI KUAMINI PRISON WANAEZA KUSHIKILIA BOMBA
Ilikuwa kinyume chake mkuu!.Hamna uwezo wa kuifunga Prison 4
Mauaji au mauji?Kikosi cha Mauaji!
View attachment 2926140
🤣😁😂😂😂Mwisho wa Siku baada ya mechi ya yanga na simba tunasubiri kusikia zile kejeli za "naona simba wanapewa kombe hapa" [emoji3][emoji3]
Clearly you are Happy
AahaaaaRefa kawasogeza hadi 96" 45' lakini wapi.
Hahaha ni mdomo gani huo ambao uto Hawakuwa nao mtani [emoji2][emoji2]Alikuwa na mdomo mnooo swahiba. [emoji23][emoji23]
Mngebebwa na nyie Leo,aahaaaaaUtopolo ni bahati yenu tu, ile mechi na Prisons mlibebwa sana