Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 13,481
- 28,116
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkia umekatwa kudadekiMuue Prison kwasababu lazima afe.
Atake asitake.
Muue Prison kwasababu lazima afe.
Atake asitake.
Simba kafungwa leo?Yamekuwa hayo
Nitaanza kuoanisha post zako Mkuu. 😀Huwezi kamwe kujua 😁😁
Kafungwa Simba au naona vibaya?Mkia umekatwa kudadeki
Wee mbangula umepigaje hapo 😀😀Alikuwa na mdomo mnooo swahiba. 😂😂
Hayo ni matunda ya Nyerere bwashee wavumilie vijana wa CCM.Mnaoshabikia matimu ya bongo húwa mna moyo huwa mnapata faida gani? Kijana kabisa under 30 anashabikia sijui simba sijui yanga ndo maana mnazeeka mapema
Simba kafungwa au wamekosea kuandika huo ubao?Nitaanza kuoanisha post zako Mkuu. 😀
Kumbe Simba alimfanyia figise Juaneng Galaxy?Ndio.
Kama mtakavyofungwa Kesho kutwa
Mtamaliza viwanja kengemaji nyieHuu Uwanja wa Jamhuri hautufai.
Yaan umekua issue ya uwanja tena na mliuchagua wenyewe?Huu Uwanja wa Jamhuri hautufai.
Kumbe na wewe?. Mwe mweee...! Umechagua maumivu....! Uwe unazunguka na panadol
😂😂😂😂😂😂😂😂nimechekeshwa huko mtaani nimejikaza nikaja kuchekea humu msibani🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣jamani ee tunasafirisha au tunasubiria masimango ya MO
Uwanja sasa umekua una mbigiriMtamaliza viwanja kengemaji nyie
Mi naumia