Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
Yamewadondokea Na Kuwabonda.Dj weka Ngoma ya Simba Matikiti kudondokea... Halafu usifanye chiki chiki [emoji16]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yamewadondokea Na Kuwabonda.Dj weka Ngoma ya Simba Matikiti kudondokea... Halafu usifanye chiki chiki [emoji16]
Ukisha maliza kumzika ukirudi home utamkuta anakusubiri na swali hili,, "umezika nini sasa wakati nipo hapa?
[emoji23][emoji23][emoji23] Mkuu unamaanisha sisi au wale wazee wa porojo?
Sumu waliwekewa na buggati hadi wakazimika kisha mzungu akasepa na simu zao anazo mpaka sasa hajaziuza.Hata wale Galaxy km sio kuwekewa sumu kwenye chakula msingeshinda.
Kwa kweli walijiandaa vizuri kushindaPrison wajiandae kisaikolojia
Simba yaliwa kiboga ndani GEREZA LA KISONGO😅😅Sumu waliwekewa na buggati hadi wakazimika kisha mzungu akasepa na simu zao anazo mpaka sasa hajaziuza.
Nendeni mkashike mhalifu huko
Teena. 😀Huu Uwanja wa Jamhuri hautufai.
Chamazi Mmeona Uwanja Mbovu Kulikoni Jamhuri.[emoji23][emoji23][emoji23]Huu Uwanja wa Jamhuri hautufai.
Wazee wakashinda Champion League 6?Chamazi Mmeona Uwanja Mbovu Kulikoni Jamhuri.[emoji23][emoji23][emoji23]
Ukiona Timu Imekosa Kujiamini Fahamu Fika Huna Timu.
Kipindi Mnachukua Kipindi Kile Mfululizo Tulikuwa Na Makasiriko Mengi Sana Mara Figisu Mara Mnabembwa.
Kumbe Tulikuwa Na Team Mbovu.
Sasa Simba Sc Kwa Sasa Imejaa Wazee Ila Ukweli Mchungu Kumeza Mnakimbilia Viwanja.
Njooni AzamHuu Uwanja wa Jamhuri hautufai.
Hawakuruhusiwa kumwaga chaki kwenye Kona?mbovu hadi viongozi wake.