Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 30,567
- 86,748
Kama mlivyokufa ninyi kwa ihefu Tena matokeo yalikuwa hivi hivi [emoji4][emoji4]Mmekubari kwa hio show show ingawa ilikua kwa mbinde mmekufa kiume Si ndio?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama mlivyokufa ninyi kwa ihefu Tena matokeo yalikuwa hivi hivi [emoji4][emoji4]Mmekubari kwa hio show show ingawa ilikua kwa mbinde mmekufa kiume Si ndio?
Kama mlivyokufa ninyi kwa ihefu Tena matokeo yalikuwa hivi hivi [emoji4][emoji4]
So you're gonna to pretend like this didn't happenTeh!
😂 Sawa mkuuKama mlivyokufa ninyi kwa ihefu Tena matokeo yalikuwa hivi hivi [emoji4][emoji4]
🤣🤣🤣Point tatu muhimu 🦁🦁 mawindoni
Vipi wewe ulijiandaa?Prison wajiandae kisaikolojia
Ngoja round ya pili nikupige Tena hamsa na timu yako mbovu sana 😁🤣😂Mataulo FC aka Majini FC mmefarijika sana.
Ubao unasoma ngapi huko??🤣🤣🤣Tunashinda goli 4 bila
Vipi kavu na mishkaki miwili au? 😄Hawa tuwaonee huruma kidogo wale walau 4 kavu
Ngapi hukooooo? 🤣🤣Tuendelee pale tulipoishia...
Simba nguvu moja..
❤️🔥 ❤️🔥 ❤️🔥 ❤️🔥 ❤️🔥 ❤️🔥 ❤️🔥 ❤️🔥 ❤️🔥 ❤️🔥 ❤️🔥 ❤️🔥 🤍 🤍 🤍 🤍 🤍 🤍
Wachaweeee!Muue Prison kwasababu lazima afe.
Atake asitake.