Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapigwee tu yaani. 😂😂Piga haoooooo Kolouizdad
Hata hvo Jwaneng kulikuwa na vibonge wengi[emoji23][emoji23] mno.Jwaneng haikuwa kipimo cha ubora wa Simba. Bado inajitafuta.
Shukrani Sana MkuuUsiogope ndo kazi yangu hiyo Kwanza nataka niwe na list ya wananchi wote hapa JF [emoji16]
Mna mpira huo?. Mliwabahatisha Garaxy mbovu,mkajiona tayari. Timu yenu bado sanaHawa tuwaonee huruma kidogo wale walau 4 kavu
Mkiambiwa timu hamna muelewe.
Mahtakhø we.Ubingwa wa kupewa milioni 30 sina mpango nao, hapa mipango yote ni CAF CL QF..
Ligi kuu sasa tunafanya mazoezi tu.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Sizitaki Mbivu HiziUbingwa wa kupewa milioni 30 sina mpango nao, hapa mipango yote ni CAF CL QF..
Ligi kuu sasa tunafanya mazoezi tu.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Yaani Leo Kolozidad ndo wamejitoa rasmi kwenye mbio za ubingwa... Sasa wanaungana na Azam kugombania nafasi ya pili [emoji855][emoji1787]Mi mbona niko hapa? Tuendelee kuburudika.