Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli mtani😁😁😀😃😃😃😃😃Cc KalpanaAsee leo si nimeota huu ubao umejirudia hivi hivi kama ulivyo
😀😃😃Ikifika saa 3 usiku nitakutafuta😀Ndio Zingatia ni 1-5 siyo 5-1 🤣🤣
Ndio ila zitaongezeka 2 kwa zitakua 7 sio 5 subiria uone kitakachotokeaAsee leo si nimeota huu ubao umejirudia hivi hivi kama ulivyo
Hahahaaa! Na tuwaambie tu kauli za kwamba wanajenga kikosi hata hatuzitaki. Teh.Hizi tano zilianza mbali hatimae zikamfikia mke mkubwa mwakani kuna jambo zito
Hahahaaa. Mtani i miss you jamani.Asee leo si nimeota huu ubao umejirudia hivi hivi kama ulivyo
Mtani hizi ndio ndoto sasa. 🤣🤣🤣🤣Asee leo si nimeota huu ubao umejirudia hivi hivi kama ulivyo
Hebu toka hapa Mtani. 🤣🤣🤣Ndio Zingatia ni 1-5 siyo 5-1 🤣🤣
Kwa zile beki za simba, zinavojisahau yale yale ya azam.Asee leo si nimeota huu ubao umejirudia hivi hivi kama ulivyo
Miss you More mtani za siku 😊😊Hahahaaa. Mtani i miss you jamani.
Hahaha mtani nadhani Haukunielewa 😂😂Mtani hizi ndio ndoto sasa. 🤣🤣🤣🤣
Hiyo ni ndoto yangu tu mtani nakumbuka ile mechi mliyotufunga tano niliota kabla kuwa mmetufunga Goli nyingi nikapuuzia na yakatokea ya kutokea, ile mechi yenu na kmc mliyowafunga sita niliota kabla tena matokeo yakiwa vile vile sita moja japo kwenye ndoto timu haikuwa kmc, na leo tena nimeota kitu kama yanga moja then simba ina idadi kadhaa ya magoli japo siyo matano hayo ya huu ubao kujirudia nilikuwa nazingua tu 🤣🤣Hebu toka hapa Mtani. 🤣🤣🤣