Nilijua tu hizi lawama lazima zije, imefungwa team sio Manula.Manula bado hajapona huyu
REFA MALIZA MPIRA [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Aminaaaaaa!💪💛Pale paleeeeeeeeee, jamani jamani!
Leo watayaoga mengiiiiiiiii
Tulia hivyo hivyo Mtani. 😂😂Nipo nimekaa pale nasubiria dk 90 za Lupaso
Umebet nini??Mpira dakika 90
Tulizeni vij*mbio
Kwakweli huyo Pepo ashendweee!!😖😖Yanga wanaongoza goli halafu wanaleta ujinga golini kwao badala ya kutulia kuongeza goli
Nimekumiss Kelphin, uko poa lakini? Usijali mimi nawewe tena 😅😅😅😅Bataokota ku pm mpenzi
#unanifanyiavibayasana[emoji32][emoji27][emoji27]