Yanga itaibuka mshindi
Hadi January naresume tena mkuuUmemaliza shule
Kwa kitu gani na wewe? Wenye kumbukumbu zao wanawania tuzo za CAF huko.Kumbukumbu ya kibu dhidi ya diara inajulikana lakini.
We achana na haya madude, nisikilize mimi.
Ngoja utakavyopata aibu mganga uchwara[emoji23][emoji23] unatuwekea hirizi ya jin maimuna badala ya ushindi
Amewatoboa ππSubiri muone, afu huyo Kibu aache sifaπ