Bantu Lady
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 8,900
- 28,398
Aminaaaaaaaa!Twende kazi wananchi
Na magoli yenu ya BabuSimba ni mpaka msemeee
Weka linkNimesogeza makombora zaidi ya 100 karibu na ule uzi kuwa ajili ya kutoa dozi for two consecutive days non stop mpaka ateme uji.
Weka linkNimesogeza makombora zaidi ya 100 karibu na ule uzi kuwa ajili ya kutoa dozi for two consecutive days non stop mpaka ateme uji.
Mmeanza mambo ya sizitaki mbichi hizi😀Na magoli yenu ya Babu
😂😂😂Mgeni rasmi kafurushwa shughulini 😆 😆 😆
Mgeni rasmi ni Diara.
Weka link
Weka link