Yatarud bila shaka[emoji41][emoji41][emoji41]Mmeanza mambo ya sizitaki mbichi hizi[emoji3]
Nilisema hiviSimba 1: Yanga 3
Na bado yaani.Duh!...leo tutakoma...
Baada ya mechi tunakwenda kwa mhasibu wa taifa kama kawaida yetuMtu aweke link ya uzi wa kihasibu hapa, nna shida kule mara moja jamani πππ