black angel
JF-Expert Member
- Jan 5, 2022
- 548
- 773
Ila bado dk nyingi zimebaki ngoja tuoneDah!....leo nuksi tupu...
Vp mzee wa makorokocho
Daah naona raha aseeeππBoli linatembea
hakuna timu hapo upumbavu tu, yanajiinua mabaga kama vile yanajua kumbe mapumbavu tuUkweli hili timu ni bovu mpaka yafungwe ndio yanajituma
Tunakujaa π€£
Ngoja tuwapumzisheNilisema Mapema Wachezaji wa Simba Walihitaji Kupumzika Zile Back to Back
kama mzize kiazi baleke atakuwa naniMzize kiazi kweli,kocha sijui kwa Nini kamleta
Mmeanza ramliUmetoa BALEKE, unamuuacja SAIDOO MUDA WOTE
Mkuu wako nan???Soma lingine hiloooo mkuu