Hahahahahahahahahahaha......Kampuni za kubet wapumbavu sana. Walimpa Yanga underdog nimechoma laki 3 kizembe. Dah! Kamari sio kitu kizuri.
Goalllllllπ€Έπ€Έπ€Έπ€Έπ€Έπ€Έπ€Έπ€ΈDaah naona raha aseeeππ
πππππHapo baada ya match ubao unasoma
Yanga 2-0 Simba
FT
Objective objective nyingiiii ngoja tukuwekee na subjective
Hakika mkuu hii fedheha kwa WanasimbaMkuu ukimaliza tafuta ile kitu yetu upunguze hasiraaa...wananchiiiiiππππ
Objective objectiveKukuza ROBERTINO