Huu mpira uishe tu, hii aibu haibebeki......Refa maliza mpira,imeisha hiyooo
Na Mo pia Anafukuzwa, anahodhi maamuziNasikia mtu kapigwa cha nne...
Simba leo wanafukuza huyo Mbrazil...
Mama eeee daaah 😄😄GOOOOOOOOOLLL
MAKOLO 1...........YANGA 4
Unalooooo mjukuuu...Nasikia makelele mfululizo,nani kafungwa??
Usinune mkuu sikukuchagulia kushabikia Simba wa kufugwa😀 poleeMkuu wako nan???
Na vigol vyenu vya Babu mnataaaaamba lkn yatarud bila shaka [emoji41][emoji41][emoji41]