financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
Nipo mkuu😀Dah Hadi wewe umekuja [emoji23][emoji23][emoji23][emoji2]
Leo kweli kumenoga
🤣🤣🤣🤣Kwani hapo hujavaa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ooooh hatujawahi kufungwa Jumapili, oooh mvua ikinyesha tu tunashinda.
Yako wapiiiiiiiii? 4-1
Kazingua sana.Mimi nilivyoona Manula tu ,nikajua Simba leo lazima wafungwe za kutosha.Kocha wa Simba kazingua kumuanzisha manura
Hahhahahha kumbe ndo tatizo [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hivi na leo ndo tarehe 5 eee. [emoji1787][emoji1787]
Haha leo utasinzia kweliii ?Tukapate burudani toka kwa Makudubela sasa💪💪💪🤸💛
Pole mkuu. I feel your pain 🤸🏿🤸🏿🤸🏿Leo tumepatikana daaah!!!
Kabisa yaaani. 🤣🤣🤣Wataweka heshima sasa kwa baba yao
Ukute hata bunduki haina risasi [emoji23][emoji1787]Makolooo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2804989
Pole mpendwa wangu. Mpira una matokeo ya kikatili sana wakati fulani. 😁WW usinifatilie....usitake niandike yanayokufurahisha....hivi una akili kweli?.umeshinda halafu unakwazika na coment yangu...
Kibu kawabinua full stop....
Usinipangie cha kupost