"Asante" ndio kufurahishwa?Kipi kimekufurahisha?
๐ฎHamia Unyamani yajayo yanafurahisha sana
Ndo watu mliozoea kuwaonea, oneeni hao hao walima tumbaku....mkija jangwani ni tano....Mpira unapigwa.
Mwite na shosti yako Evelyn Salt aje ashuhudie, futbal
We unaweza sahau kweli??? ๐๐๐๐Huwezi kuwaza bila kukumbuka 5?
Tano za kipepo labda ..zile za majini wavaa vikuku...ila kwa uwezo wenu wenyewe hamtuwezi..Ndo watu mliozoea kuwaonea, oneeni hao hao walima tumbaku....mkija jangwani ni tano....
Tumeshawafunga sana hizo mbona tumesahau..tatizo nyie malimbukeni..We unaweza sahau kweli??? ๐๐๐๐