FT || Simba Sc 2 Vs 2 CSKA Moscow

FT || Simba Sc 2 Vs 2 CSKA Moscow

Hapa kuna watu wenye nadharia mbili
1)kuna watu wanaohisi kuwa watu wote wanaotoka bara la ulaya watu wanadhani ni wazungu kitu ambacho sio
2) watu wote wenye ngozi nyeupe watu hudhani ni wazungu kitu ambacho sio

Wazungu wanakuwa na sifa zao kama vile macho, nywele, ngozi, n.k

Ila navyojua mimi warusi japo wanatokea ulaya lakini sio wazungu

Kwa taarifa yako kwenye kamusi ya kiswahili hakuna neno mzungu,bali ni msamiati au msimu tu wa mtaani ambao umekuwa maarufu tangu zama za ukoloni,ukimaanisha mtu mwenye rangi nyeupe kutoka bara ulaya..wazee wetu hawakuwahi kujua kutofautisha macho wala nywele kama unavyosema wewe.

Wao kwao muhimu awe mweupe na anatoka ughaibuni basi ni mzungu tu.

Kwa hyo since urusi iko ulaya tena mashariki basi warusi kwa mujibu wa neno mzungu basi wao pia ni wazungu.
 
Kwa taarifa yako kwenye kamusi ya kiswahili hakuna neno mzungu,bali ni msamiati au msimu tu wa mtaani ambao umekuwa maarufu tangu zama za ukoloni,ukimaanisha mtu mwenye rangi nyeupe kutoka bara ulaya..wazee wetu hawakuwahi kujua kutofautisha macho wala nywele kama unavyosema wewe.

Wao kwao muhimu awe mweupe na anatoka ughaibuni basi ni mzungu tu.

Kwa hyo since urusi iko ulaya tena mashariki basi warusi kwa mujibu wa neno mzungu basi wao pia ni wazungu.
Hilo ni kweli
Mtu mweupe akitoka Amerika au Ulaya na Australia huyo ni Mzungu, ndio maana Dejan aliitwa Mzungu, Asili yake ni ulaya.

Mtu atoke Asia, Qata, Dubai, Lebanoni etc. Huyo Mwarabu, hata kama angezaliwa ulaya ni Mwarabu tu

Mwafrika vile vile, mjapani na mhindi
 
Mkuu kwani kazi ya kocha ni nini?kwa hyo mnataka hao kina nyoni wawekwe mechi za maana au sio!!??hapa anawajaribu awaone uwezo wao,ndo maana ya mechi za kirafiki kila mtu anacheza..acheni ushamba wa kudhani kila mechi mnataka kushinda tuuu mbona iko wazi hizi ni mechi za majaribio tu.
Nashangaa sisi mashabiki wa Simba! Hapo amelaumu kocha wakati ni mgeni na anataka kuona uwezo wa kila mchezaji ili ajue awatumie vipi. Mechi za majaribio sometimes unaweza kubadili hata timu nzima. Kwenye ulalamishi sisi Simba tunaongoza.

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
 
Baada ya mechi ya Simba na CSKA Moscow timu nyingi za ulaya zimeomba kucheza na Simba siku ya Simba day zikiwemo Ac Milan na Inter Milan ambazo zipo Saudi Arabia kucheza mechi ya super cup huku Porto ya ureno , Bayern, Borussia, Barcelona, Madrid na timu kubwa za uingereza
 
Kwahiyo, walisogeza mechi ya ligi mbele ili wakafungwe na kutoa droo huko walikokuwa..??
 
Naona mashabiki wa timu ile kule wanahamishia magoli upande ule kule
 
Nashangaa sisi mashabiki wa Simba! Hapo amelaumu kocha wakati ni mgeni na anataka kuona uwezo wa kila mchezaji ili ajue awatumie vipi. Mechi za majaribio sometimes unaweza kubadili hata timu nzima. Kwenye ulalamishi sisi Simba tunaongoza.

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Simba kwa miaka hii mitano ya mafanikio ilijikusanyia kundi kubwa sana la mashabiki wajinga wajinga.

Wanasumbua sana hata kwenye social media platforms za klabu.
 
Back
Top Bottom