mzee wa bwaksi
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 2,255
- 3,972
[emoji1][emoji1][emoji1] jf raha sana. Nimekaa pale ndio kubana pua?? Punguza makasiliko na watu humu jf tunapoteza stress tuMwanamme mzima unabana pua eti nimekaa pale. Haya mambo ya kike
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1][emoji1][emoji1] jf raha sana. Nimekaa pale ndio kubana pua?? Punguza makasiliko na watu humu jf tunapoteza stress tuMwanamme mzima unabana pua eti nimekaa pale. Haya mambo ya kike
Sasa hapo umeachia pua. Tuendelee na stori[emoji1][emoji1][emoji1] jf raha sana. Nimekaa pale ndio kubana pua?? Punguza makasiliko na watu humu jf tunapoteza stress tu
[emoji1][emoji1][emoji1] anyway Simba guvu moya[emoji123]Sasa hapo umeachia pua. Tuendelee na stori
Lakini wapo waliosema kuwa sababu ya kumtoa Chama ilikuwa ni kutokana na kuchelewa kwake kambini hivyo Kocha hakupata muda mwingi kumtazama ChamaNimeuliza kwasababu watu walimponda Chama, kuwa mzungu anapenda mpira wa kasi na Chama hafai kwenye mfumo wa mzungu. Sasa ndio najiuliza hiki kikosi kaachiwa Mgunda apange au mzungu kaishapata mfumo wa Chama?
Simba Wana nafasi nzuri kutokana na wachezaji wazuri kama saido ,sakho na chama ila nawasi wasi na mfumo wa kocha atakaoutumia maana yawezekana hawajui singida , kilalakheri home boys singidaMajira ya Saa 1:00 Usiku kwa Masaa ya Afrika ya Mashariki,Mnyama mkubwa mwituni, Simba SC watashuka dimbani katika dimba la Benjamin Mkapa kuwakaribisha wana alizeti Singida Big Stars.
Mechi inategemewa kuwa ngumu, maana katika mchezo wa kwanza pale Liti, Singida, timu hizo zilitoshana nguvu kwa sare ya 1-1.
Simba itashuka dimbani ikiwategemea wachezaji wake mahiri kama Chama, Saido, na wengineo huku Singida Big Stars ikiwategemea zaidi akina Bruno, Kazadi na mastaa wengneo.
Je, Simba ataweza kuzoa alama zote tatu? Au Singida ndio atakayeibuka kidedea? Tukutane saa 1:00 usiku kwa live updates...
Ubashiri wangu: Simba 2-1 Singida
Amepanga Kocha Mkuu Mbrazil [emoji1054] RobertinhoHiki kikosi kapanga Mgunda au kapanga Mbrazil?
Nini maana ya kuwa na benchi la ufundi, nini maana ya kumbakiza mgunda, nini maana ya kuajiri analyst au mtathimini wa timu pinzani na yenu.Simba Wana nafasi nzuri kutokana na wachezaji wazuri kama saido ,sakho na chama ila nawasi wasi na mfumo wa kocha atakaoutumia maana yawezekana hawajui singida , kilalakheri home boys singida
Singidq lazima achezeeKikosi cha Simba SC Kinachoanza dhidi ya Singida Big StarsView attachment 2505009
UsiwazeHatuna umeme ila duuu....nakuaminia Greatest Of All Time tutapata mtiririko hapa hapa....