Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Mnatuchanganyia mafile nyie...Mnamuomba pesa za kula mnajishaua JF hamna njaa, kumbe wote choka mbaya yy mpk awatumie pesa ndio mna survive 🤣🤣🤣
Bila yeye hamtoboi, tena ww ndio unamuomba sana pesa na kujifanya unambebisha eti mkichat 😹😹😹
Mlishawahi kuifunga lini 6 Simba? Au tukukumbushe ni nani alishafungwa 6?Mkifikisha sita kama tunavyowafanyaga nahamia simba leoleo
Aisee,nimevua kofia🙌 unajua nilikuwa najua ni mtu tu kumbe hafai hata kuheshimika🙌To yeye umeona 😹😹😹
Na wale wengine ulisema wanajifanya wana misimamo kumbe wagawaji wa kimya kimya!! 🤣🤣🤣
Haya mashosti mje mjionee nikiwaambia mnajifanya nyenyee midomo mirefu km chuchunge, haya buzi lenu linawavua nguo na wengine soon mtaanikwa STAY TUNED 😹😹😹
Tulia wewe 😂😂Mnatuchanganyia mafile nyie...
Dua za kuku hizi mkuu.....Lolote baya liwakute makolo.
Kama anaua nyokaMavaambooo goal kick
Tamu kama mke Wa mjumbe wa CCMSimba tamu!!
Role model wa Mzize huyo.Debora ana mishuti
Sornitawalamba ban!!