Nina dawa ya mnaotesekaaa, yaan subirini mpira uishee.Wamejipatia kibonde wanajipigia
Hata kama tumefungwa jombaa ndo uniite baba 🤣🤣nazungumzia kufungwa baba
Yaan Simbaa OG, ndo hii sasa.Jamani eeee hii ndo Simba haijalogwa...
Tesekaaaaa sanaaa na badoooooo, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mke wetu kolo anafanya mazoezi ya kukata kiuno kwa galaxy ili akija geto tumpige bao 5 tena
😂😂Leo Kibu Denis kichwani ni kama Gervinho tu.
😁
Na hicho mlichoshangilia last week, sisi tumekishangilia 2019.Mnachokishangilia sisi tulishashangilia last week, kolo wa head
Jana alikuwa jukwaani, aliwaachia vijanaPacome hawez kufananishwa na mbuzi yoyote nchin tanzania
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unateseka ukiwa wapiiii eve, dawa 3 zinapatikana madukani kotee.Hata kama tumefungwa jombaa ndo uniite baba [emoji1787][emoji1787]
Baba ina maana nyingi, hata wachungaji wanaitwa mababa 😁Hata kama tumefungwa jombaa ndo uniite baba 🤣🤣
Tunakuaminiaaa😁Nina dawa ya mnaotesekaaa, yaan subirini mpira uishee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Naomba leo uwe chawa wangu kwa muda, mzee mwenzangu 😂😂😂
Leo tutarudi kazini baada ya 'kustaafu' kwa muda mrefu, sivyo mzee mwenzangu..??
Waingie mara ngapi wamo umo na majini yaohaiwezekani uto kuingia kusaidia hawa jwaneng
Wanajitoa ufahamu...ishakua historia na wao wanze kuandika bango kama hii