Kunguru wa Unguja
JF-Expert Member
- Aug 18, 2021
- 1,762
- 1,823
wewe ni mwongoMbona kama hata hakuhojiwa,alikubali kweli kuhojiwa?maana nilimwona ni kama alienda vyumbani moja kwa moja mechi ilipoisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wewe ni mwongoMbona kama hata hakuhojiwa,alikubali kweli kuhojiwa?maana nilimwona ni kama alienda vyumbani moja kwa moja mechi ilipoisha
Kwani nyinyi hizo hela zinaenda kwa nani, kama sio kwa GSM?Aliyeingia robo na mechi moja mkononi na aliyeingia mechi ya mwisho yupi Bora?
Anyway nyinyi ni wa kuwasamehe Tu mwenye timu muda huu anagonga cheers anasubili cheque ya CAF Tu.
Kama alihojiwa alisemaje,leta jibu usikate tu mauno hapawewe ni mwongo
Timu ambayo mliwapa kambi bure na maelekezo memgine ili simba tufungwe mnawakana sasa hivi baada ya kichapoKwa timu gani muliyocheza nayo timu mbovu hata azam anamkalisha.
Mbona wachezaji wenyewe wana vitambi?Timu ambayo mliwapa kambi bure na maelekezo memgine ili simba tufungwe mnawakana sasa hivi baada ya kichapo
HAhhahahahHali mpaka sasa ni shwari licha ya goli 6 lakini 4 zilitaka kumtoa mtu roho, usiku mwema
Na wewe unaamini huu upuuzi? Avic town kuna maghorofa?Timu ambayo mliwapa kambi bure na maelekezo memgine ili simba tufungwe mnawakana sasa hivi baada ya kichapo
Mtatubu sana na mizigo yenu mnapenda kuleta shobo kwenye mechi za simbaNa wewe unaamini huu upuuzi? Avic town kuna maghorofa?
CCM itatawala mpaka iseme basi, maana inatawala maiti, na huku kwenye Mpira ndio wanaombea Muendelee na ulevi huu huu ili watu wafanye mambo yao Bila kelele.
Jibu swali jinga wewe, Avic town kuna maghorofa? Au naongea na mtu Kwa maandishi na mtu huyo yupo Nyarugusu?Mtatubu sana na mizigo yenu mnapenda kuleta shobo kwenye mechi za simba
Tumembndua vizuri kuku wetu.Haya chukua hayo manyoya kayale.Jamuhuri ya kolouizdad, nawatakia kheri japo mna midomo sana.
B… Mdakuzi We wajua vile sina ubaya, nataka mshinde tu.
Kazi kwenu, kuku wenu yuko bandani kwenu mshindwe nyie tu.
Hapana kuna mwiko nyumaJibu swali jinga wewe, Avic town kuna maghorofa? Au naongea na mtu Kwa maandishi na mtu huyo yupo Nyarugusu?
Weee! Apia.Utozidad wangekuwa na sisi kundi moja wasinge qualify.