Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 35,812
- 107,628
Simba wana mbwembwe zaisi maana wana mashabiki wengi zaidiHivi kiuhalisia kabisa tukiweka ushabiki pembeni kati ya simba na yanga ni mashabiki wa Timu gani wana mbwembwe [emoji3][emoji3]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Simba wana mbwembwe zaisi maana wana mashabiki wengi zaidiHivi kiuhalisia kabisa tukiweka ushabiki pembeni kati ya simba na yanga ni mashabiki wa Timu gani wana mbwembwe [emoji3][emoji3]
Jina la my first born hiloJamani mbona tumefanana majina
Ooh hongera jina zuri sanaJina la my first born hilo
Mpira ni mchezo,Hivi kiuhalisia kabisa tukiweka ushabiki pembeni kati ya simba na yanga ni mashabiki wa Timu gani wana mbwembwe [emoji3][emoji3]
HakikaOoh hongera jina zuri sana
I wish one day tutaonanaOoh hongera jina zuri sana
MkuuI wish one day tutaonana
Mechi ipo miguuni mwa Mwamba wa Lusaka... Pia long balls za MT Fabrice Ngoma kupasua mistari miwili.... Sarr au Kanoute mmoja aanzie benchi....
Mkalimani Mchezaji Saido akiingia dakika za 70 atakua na impact kuliko kuanza....
Nn tena
Bahati yao wamekuta tunaomboleza.Katika rekodi za CAF za ushindi mnono kuanzia 6-0 na kuendelea, Simba ana mechi 3.
Hawa wajinga leo walikuwa wafe hata 12 ili tukae juu pale kwenye list basi tu, ila kwa mwenendo huu msimu ujao kuna mtu atajichanganya tena.
Namshangaa msemaji WA Simba Yuko mzima kabisa Yule mwingine muda kama hii alikuwa kwenye drip ya sita😁Hali mpaka sasa ni shwari licha ya goli 6 lakini 4 zilitaka kumtoa mtu roho, usiku mwema
Inshallah 😀I wish one day tutaonana
Yule ni dhaifu hata kwa kumwangalia tu.Ingekuwa ni ushindi huu leo ndiyo team yake imepata sasa hivi tungekuwa tunaongea mengine.Namshangaa msemaji WA Simba Yuko mzima kabisa Yule mwingine muda kama hii alikuwa kwenye drip ya sita[emoji16]
Ndio lazima tuheshimiane[emoji23][emoji23][emoji23] Kumbe huyu ni kolowizard, leo tutaheshimiana Majini, sorry & excuse me I mean Mjini
We unatishaa
Kwani yanga ni utopolo?.
Yanga wanaingiaje hapa?
Yanga ilishasecure robo fainali kitambo tu.
Mwamedi Saa hizi anatabasamu ana uhakika wa kuvuta Mpunga wa CAF Kwa kuingia robo.
Kumbuka mwenye timu hapangiwi matumizi ya pesa zake.
Kwasababu labda imezoeleka Simba kuingia roboUshindi wa leo ni goli nyingi lakini hauna vibe kama ushindi wa juzi wa Yanga.
Yaani hata Simba ingefunga goli 20 wala kusingekuw na vibe kama la juzi kumfunga Muarabu.