cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapanaa naenda Lubumbashi mbeziiii.Kwahio leo utagawa matako bure bure hapo river side
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapanaa naenda Lubumbashi mbeziiii.Kwahio leo utagawa matako bure bure hapo river side
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Haha hajawahi na hawawezi..
Kuna mwamba humu alisema Mnyama anacheza na timu tatu, mojawapo ni huyu aliyekandwa mbili zilizobaki nisaidieni kumalizia wakuu..
Mungu akuponye haraka mwanasimba Simba leo imejituma ila beki za galaxy zinakabia macho.Sanamu la chama liwekwe viunga vya msimbazi..
Japo nimeshangilia mpira wa timu yetu Simba nikiwa kitandani nauguza jeraha la kuvunjika mguu wa kushoto
Ila siku ya Leo imekua nzuri na furaha sanaa Kuna muda nilijikuta nataka kunyanyua mguu wenye HOGO
ALL IN ALL,
Simba Guvu Moja 😊😊😊😊
Anko wako mstaarabu eti, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yani wew kichwa chako umuua Kwa presha ankowangu
Imerudia unyamq wake.Simba imebadilika kiukweli,
Tisha sana 🤣🤣Wydad,yanga na jwaneng
Oooh poleee sanaa, hope ushindii huu umekata maumivu ya jeraha lako.Sanamu la chama liwekwe viunga vya msimbazi..
Japo nimeshangilia mpira wa timu yetu Simba nikiwa kitandani nauguza jeraha la kuvunjika mguu wa kushoto
Ila siku ya Leo imekua nzuri na furaha sanaa Kuna muda nilijikuta nataka kunyanyua mguu wenye HOGO
ALL IN ALL,
Simba Guvu Moja [emoji4][emoji4][emoji4][emoji4]
Naam, sahihi kabisaNa kwa haya matokeo confidence kwa Simba imapanda.na unapokua kwenye changamoto yoyote confidence ni dawa Bora kabisa.
Unajisifu kwa kuifunga TRA iliyochangamka?Hali mpaka sasa ni shwari licha ya goli 6 lakini 4 zilitaka kumtoa mtu roho, usiku mwema
Kuna mtu kajitolea kuninunulia matango 20 niyale niyamalize kisa ushindi wa simba. Mna mbwembwe simbaHehe bado Hamjaongea vizuri 🤣🤣
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Goal ni yule yule pacome aka kitenesi yanga 7-0 CR belozidad kipindi Cha tatu wapo moto[emoji91] wananchiiiiiiiiiiiiiiiii
Hivi kiuhalisia kabisa tukiweka ushabiki pembeni kati ya simba na yanga ni mashabiki wa Timu gani wana mbwembwe [emoji3][emoji3]Kuna mtu kajitolea kuninunulia matango 20 niyale niyamalize kisa ushindi wa simba. Mna mbwembwe simba