FT: Simba SC 6-0 Jwaneng Galaxy | Benjamin Mkapa Stadium | 02.03.2024. 19:00 EAT | Simba yafuzu Robo Fainali

FT: Simba SC 6-0 Jwaneng Galaxy | Benjamin Mkapa Stadium | 02.03.2024. 19:00 EAT | Simba yafuzu Robo Fainali

Haijalishi, goli 6 ni goli 6 tu.
Ndio maana Yanga ipo kwenye rekodi ya kufungwa goli nyingi group stage 1998 na Raja Casablanca, 6-0
 

Attachments

  • 20240225_003216.jpg
    20240225_003216.jpg
    28.4 KB · Views: 2
Aliyeingia robo na mechi moja mkononi na aliyeingia mechi ya mwisho yupi Bora?

Anyway nyinyi ni wa kuwasamehe Tu mwenye timu muda huu anagonga cheers anasubili cheque ya CAF Tu.
Simba ni moja ya timu 5 kati ya 16 iliyofungwa mechi 1 au 0. Pia ni timu inayoongoza kwa goal difference kati ya timu za makundi yote. Mpaka hapo unaweza kujua nani ana takwimu mzuri.
 
Aliyeingia robo na mechi moja mkononi na aliyeingia mechi ya mwisho yupi Bora?

Anyway nyinyi ni wa kuwasamehe Tu mwenye timu muda huu anagonga cheers anasubili cheque ya CAF Tu.
Tesekaa taratibuuuu mzeee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Dawa 3 zinapatikana madukani koteee. Vipi huna hela nikununulie uanze kumezaaa?
 
Aliyeingia robo na mechi moja mkononi na aliyeingia mechi ya mwisho yupi Bora?

Anyway nyinyi ni wa kuwasamehe Tu mwenye timu muda huu anagonga cheers anasubili cheque ya CAF Tu.
Usijisahaulishe kwamba msimu huu ndo Mara yako ya kwanza kuingia Robo Tangu mwaka 98..
Sisi tumezoea Mfululizo misimu sita sasa
 
Kwa misimu takribani 6 mfululizo haijawahi kuwa shida kubwa kwa Simba kufuzu hatua ya robo fainali, ni wakati sasa wa kupambana kuitafuta nusu fainali na hata fainali yenyewe. Kila kitu kinawezekana kama mtani alisubiri kwa miaka 89 na wamefanikiwa kuingia hatua ya robo basi hata kwa Mnyama inawezekana hata kubeba hili kombe, tunalitaka sana.. Kila la kheir.. Leo mpira umetembea kwa maana ya kutembea!
Na kwa haya matokeo confidence kwa Simba imapanda.na unapokua kwenye changamoto yoyote confidence ni dawa Bora kabisa.
 
Hapo sasa...wanaozimia ni hawa washamba wa mashindano..
Tena kibaya zaidi ushindi wa Simba umekua wa kibabe sana.
Kwa wapenzi wa movie za action watajua ukweli huu
Yaani Simba ni kama makomando waliokua wamezingirwa kambini kwao na maadui wenye Kila aina ya silaha.
Makomando Simba wakiwa hawana msaada wowote wakaanza kupanga mipango ya kujiokoa matokeao yake wameweza kuwapinga maadui zao wote waliokua wakishiikiana kuwazingira na hatimae kutoka nje kibabe sana.
 
Back
Top Bottom