kinje ketile
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 5,089
- 9,664
Nitesekee nini sasa yanga tunatinga robo vifua mberee???[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unateseka ukiwa wapiiii eve, dawa 3 zinapatikana madukani kotee.
wapigweWaingie mara ngapi wamo umo na majini yao
Jamaa anatukatili na wenge lakeLinesman nibebebeee
Kwahiyo mi baba mchungaji? Nimelia sana....Baba ina maana nyingi, hata wachungaji wanaitwa mababa 😁
[emoji23][emoji23][emoji23] yaan leo kuna watu nitawaponya, hata Yesu mwenyewe arudi upya ktk darasa la uponyaji.Tunakuaminiaaa[emoji16]