ngosha wa mwanza
JF-Expert Member
- Feb 23, 2015
- 3,832
- 11,964
Lakini hapa wangemtoa Inonga wakamuweka Chama ingekuwa poa sanaHatari sanaaa
View attachment 2922449
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sisi ni back to back.Nitesekee nini sasa yanga tunatinga robo vifua mberee???
😂😂😂Naomba leo uwe chawa wangu kwa muda, mzee mwenzangu 😂
😁 😁 😁Kwahiyo mi baba mchungaji? Nimelia sana....
Tuliaaa mtaniiii, huu mchezo hauhitaji hasiraaaa.Yaani huyu jamaa anaye cheza beki mbili anazidi kuwachoma wenzake yaani uchochoro.
Kipimo cha approach yake ni mdomo wake. Niliona kaongea mengi ambayo alipaswa kuyaongea baada ya mechi. Habari ya goli tano na uzee sio ya kuingea hayo wakati hata mechi hujacheza. Huyu kocha kaidharau sana Simba hata approach yake kaifanya kwa kutokumuheshimu mpinzani. Hana tofauti na alichofanya kocha wa Horoya alikuwa hivyo hivyoKwani unazani angekaa kimya hasinge pigwa?
Ongezaaaa sautiiiiiiiiiiiiiiii.Leoo wana simba tunavimbaaaaa
Atajua yeye, sisi sio shida zetu.Linesman ameapa hakuna tena goli...!
Sio kwa Maamuzi haya
Yanga hatunaga hata habari hizoSimba leo inacheza na Timu Tatu..
1.Wyda
2.Galaxy
3.Yanga
Kwahyo nguvu zinahitajika..
Wachezaji wasituangushe
Pole sana. Kwa kweli, amekukosea. Ngoja mimi nikuite mama mchungaji. Haya naomba uache kulia sasa.Kwahiyo mi baba mchungaji? Nimelia sana....